MUHUSIKA MKUU KATIKA FILAMU YA SIHRIA
Anajulikana kwa jina la Samiya Abdul ni binti aliyeonesha uwezo mkubwa katika fani ya kuigiza ndani ya ulimwengu wa filamu zenye heshima zijulikanazo kama maadili movies ameigiza kama binti aliyeshika vema dini ya kiislamu akiwa katika umri mdogo sana na elimu hiyo ikabakia kuwa hazina na ukombozi hadi kwa wazazi wake tazama filamu ya sihri kutoka Mash Production uone ukubwa wa uwezo wa wasanii wa filamu za maadili hapa nchini.
hakika binti amependeza katika vazi la maadili
ReplyDeleteshukran kwa kuwa pamoja
ReplyDelete